Комментарии:
Daaah
ОтветитьHuu jamaa ana pesa mpak ugomvi
ОтветитьAingie tu kwenye siasa Moja kwa moja
Ответитьhawa ndio matajiri wa dunia ya kwanza, hawaendeshwi kwa kama gari mbuvu usijaribu huku kwenye dunia ya tatu
ОтветитьMh hatar sana
ОтветитьWaswahili tunasema money is talking
ОтветитьTrump for presidency 2024
ОтветитьNdio atukatai una pesa nyingi sana na hatupingi kwa Hilo maana kazi zako zinaonekana akuna ambae ajui kwamba unapesa lakini kaka Simba la masimba dangote kuwa tajiri namba1 kumpik hd huy mwamba mmmh Hadi nione ndo niamin kwa sasa hapana kama ulikuwa kwenye ndoto hapo sawa
ОтветитьHizo ndo nchi watu wanajiamini sana
ОтветитьDuuuuu
ОтветитьSi ndiye huyu jamaa bibilia imemtabili kua mpinga KRISTO mwenye akili za ajabu na kutisha, na tajiri wa kupindukia?
ОтветитьHuyu jamaa namwogopa sana,, atakua ndie mpinga KRISTO,, maana haijulikani ni muumini wa dini gani.
ОтветитьMsisahau gps kesho
ОтветитьTunasubir GPS kesho inshallah kwa hamu sana
ОтветитьNinavyoona Ellon Musk atakuwa mwana siasa na huenda akaja kuongoza nchi ya marekani
ОтветитьKinachonipa nguvu huyu bilionea nikumuona ni mtu kutoka taifa kubwa marekani . Ataifanyia makubwa marekan siku chache badae
ОтветитьTrump na Elon hawa ni wafanya biashara nguli, hizo hela zinarudi dakika 10 tu ikiwa Trump atakuwa raisi, lengo lao ni kuja na CRYPTO CURRENCY yenye nguvu kubwa duniani zaidi ya GOLD & BITCOIN
ОтветитьHii nchi ndo yakwenda kujiqndksha ssa 😅
ОтветитьKAMANDA MKUU ALOKUFA HUJAMUONA AU HABARI UNACHAGUA😅😅
ОтветитьHiyo ruswa ingekuwa Africa wangepiga kelele
ОтветитьHuyu ni mwehu ma home less kibao wamejaa huko hawasaidii afu anapambania iyo mbwa yenye chuki na waifrica na waislam
Ответитьingekuwa ni Tanzania una hisi Chawa yupi angeshinda
ОтветитьNa Diamond bae anasemaje sababu pia anataka kua tajiri Dunia nzima😂😂😂😂
ОтветитьSawa Sawa Asante sana
ОтветитьMi najiuliza huyu Elon musk anataka Nini marekani siku zijazo maana ametumua gharama ya kupindukia kumfadhili Trump
ОтветитьFaini ya Dola Elfu 10 Elon Musk anatoa dola Milion 1 😂😂😂
ОтветитьJamaa anakitu anakitaka na atakipata hela ndo Kila kitu
ОтветитьHuyu ndie diamond anataka kushindana naye?😂
ОтветитьKwa bongo ni rushwa hiyo
ОтветитьJamaa anataka utawala wa dunia mana akishinda Trump yeye ndio atakua mtawala trump atakua kivuli tu, ataweka sera zake kwa dunia ili kukamilisha utawala wake. So tusubiri dunia mpya huenda ikawa mbaya zaidi
Ответить