Комментарии:
Neema ya Kristo isipungue juu yako!! Mpaka hapo ulipo wew ni mshindi mno Mungu analo kusudi na maisha Yako!! Utapona dadangu endelea kumwamini na kumtegemea Mungu
ОтветитьPole sana Allah Yuko nawewe naamini kheri inakuja kwako sina Hela lkn natamani ningekupeleka na nikakurudisha Tanzania mola atakufanyia wepesi Amin.
ОтветитьPole sana Allah yuko nawewe naamini kheri inakuja kwako sina Hela lkn natamani ningekupeleka na nikakurudisha Tanzania mola atakufanyia wepesi Amin.
ОтветитьKila kitu kinatokea kwasababu,Mungu nimwema siku yatakwisha
ОтветитьMrudie mollah wako
ОтветитьMe yot kwa yot na naomba na msio wa Tanzania mtusaidie na mliotusaidia tok mwanzo pia tunashukur nasem ivi kwaajili ya dad haw najua kunawatu weng mlimchangia ikiwemo sio wa Tz ila dad hawa amesema watanzania ila me nipo kwa ajili ya wot mtusaidie mlio wa Tz na sio wa Tz sisi sot wamoja dad haw awez kuvitaj vyot msijisikie vibaya jaman
ОтветитьMwe mungu SI amponye uyu dada😢😢😢😢 jamn
ОтветитьAllah akupe shifaa ya haraka dadangu ufanikiwe safari yako iA
ОтветитьKwa kweli n mtihani mkubwa Allah akupe subra
ОтветитьMungu ametenda jaman.
ОтветитьAllah azidi kukufanyia wepesi inshaallah hakika ibada umeifanya kipenzi changu 🥰
ОтветитьMama usilie Allah atamsimamia Hawa atapona hakuna kikubwa kwa Allah
ОтветитьAmiin Allah akutangulie safaris yako utapona kwa uwezo wa Allah muumba mbingu na aridhi bila kishikilio
ОтветитьDada ukifanikiwa kutoka huko na ukapona asee nitafurahi sana sana Mungu akupiganie
ОтветитьMungu ni mwema hawa utakuwa sawa mungu ametenda hapo ulipo utakuwa sawa zaidi ya hapo
ОтветитьMungu nimwema sana atakufungua zaidi
ОтветитьPole sana daa hawa allah atakupa shufaa ya haraka biidhinlilah kilakitu mungu tu inshaalah utapona dada ulee mwanayo amin 🙏
ОтветитьAllhamdulillahi mungu.mwema inshallah utapona mom
ОтветитьMungu aliyemfufua Lazaro atakuponya na wewe mdogo wangu.endelea kumtegemea Mungu hashindwi na jambo.
ОтветитьMimi Nina imani kabisa uta pona kwauwezo wake mungu lnshaallah tuna kuombea mama usife moyo mungu niwetu sote ❤❤❤❤
ОтветитьDada mm nikuombe amka usiku saa 7 ongea na Mungu mwambie inatosha Baba nakuachia wewe ndo mwamuzi wa mwisho,Mungu atafanya muujiza wake wa uponyaji
ОтветитьBinafsi wallah dada nakuombea sana sana sana nikuone usimame dada naumia sana najua maumovu unayo pitia mana nimepitia maumivu makubwa ya figo ila mwenzangu umepitia makubwa sana sana nakufatilia mwanzo mwisho
ОтветитьInshallah daa mungu atakuponya inshallah
ОтветитьUtapona carolynehawa ❤
ОтветитьAsalmalkm mungu akupe wepesi kwenye matibabu na safari yako kwa jumla usijali mama utaweza na utatoka kama kawaida ishallah
ОтветитьMungu aendelee kukupigania
ОтветитьALLAH atakufanyia wepec utapona
ОтветитьKila napo kusikiliza dad hawa hutokwa na machozi hakika dad Allah atakuponya kwa uwezo wake Allah 🙏🙏
ОтветитьMkaribie mola usimwache kamwe. Rais Samia aendeleze mchango wake kwa dada yetu. UTAPONA DADA 🙏
ОтветитьAllah awafanyie wepesi kwa mtihani huo mgumu 🥺 nimelia sana 🥺. Allah awasaidie🤲
ОтветитьMay Allah ( S.W) give you shifaa, and give you anything you wish to have in this dunya and akhirah
ОтветитьKwani hiyo miyaka nane Samiya ndiye alikuwa ana ksaidiya?ama ni niumoja wawatanzania pamoja na Mungu?
ОтветитьDada mzuri nasha Allah,Allah atakuafu
ОтветитьMungu akufanyie wepesi upone kabisa dada yangu uendelee na shughuli zako
ОтветитьHawa pole sana, kikubwa kuwa karibuni na Allah kwa kufanya ibada kila kitu Allah ndio muweza
ОтветитьAllah akupe shifaa ndugu yangu Hawa
ОтветитьMatendo ya Mungu yapita fahamu Na akili ya wanadamu
Ответить😢😢😢pole
ОтветитьAllah atakuponya yatapita,utasahau utakua mzima kma ulivokua mwanzo kua na imani na allah ndie mueza kma allah ndie alie kujalia maradhi bci ndie atakae kuponyesha utapoa dada utasahau inshaalah
ОтветитьMungu ni mwaminifu na uwezo wake haumpungukii mja wake,Mungu mwenye Huruma akuponye.
ОтветитьDada Mungu atakuponya endelea kumuomba atakuponya.
ОтветитьMungu. Hawezi. Kukuacha. Hapo. Alipo. Kutoa. Ni. Yeye. Ndie. Atakae. Kusaulisha. Maumivu
Ответитьpole sana mamie,utapona tambua wewe ni mshindi kwenye hili!!!
Ответитьila kwann siyo angekwenda India kabisa?
Ответитьusilie mama acha nichangie kwa kidogo!!!
Ответитьmama aache siasa bana aishie kuomba kwa rais inatosha
ОтветитьMay Allah grant you complete Shifaa. May all the tests you're going through be your gate pass to Paradise.
ОтветитьMungu asante kwa mtumishi wako huyu . Kwa imani aliyonayo anakuamini kuwa unaweza kumponya na kurudi kama zamani. Naomba kwa neno lako moja tu mtumishi wako awe huru apokee uponyaji katika jina la Yesu. Na safari hii oparation itakayofanyika tunaomba ikawe ya mwisho muhurumie na umpatie furaha ya milele amina
ОтветитьBado unaumwa mwanangu ila Mungu wetu tunaemwabudu hakika atakuponya na utarudi katika hali yako nzuri ili uendelee na maisha yako ya kila siku. Inshaallah utapona vizuri, nakuombea kila siku mrembo wangu.
ОтветитьMPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.
Ответить